/

Reli ilikuja ikarekebishwa, Odinga responds to Ruto’s ‘watu wa kungoa reli’ remarks

2 mins read

ODM leader Raila Odinga has responded to William Ruto’s frequent referral of Kenyans from the Lake region as ‘Watu wa kung’oa reli’, telling the DP the section of the rail which was vandalized in 2008 had been repaired and no vandalism has taken place again.

The ODM leader who was speaking Thursday during a private visit to the home of Erastus Okul at Komolo Lwala Village in Homabay county also trashed the Deputy President’s bottom-up narrative, terming it a mere lip-service aimed at deceiving Kenyans to vote him as president.

Read: Azimio Movement unstoppable, Odinga to opponents

“Kuna watu wengine ambaye wanapinga sera zetu. Wanadanganya Wakenya na wanajaribu kuhadaa Wakenya na mambo sijui ya bottom-up. Hawa ni watu ambao hawajui pale wanatoka na kule wanataka kuelekea. Sisi tunasema tuko na sera kamili na yetu inakuja kupitia kwa mlango ya Azimio la Umoja. Hawa wengine wanajaribu kuwahadaa wakenya. Maneno ya uwongo ambayo haina maana na wale wanajulikana. Juzi wanasema ati watu watu waling’oa reli Kibera. Reli ambayo ilingolewa ilikuja baadaye ikarekebishwa,” the ODM leader said.

Read:President Uhuru giving OKA time to negotiate with Odinga

”Mimi nimejaribu sana kutahadharisha Wakenya. Kuna yule fisi ambaye amejivisha nguo ya kondoo, anajifanya ni kondoo. Sasa siku hizi hatoi sauti kama ya fisi, amebadilisha ili mmfungulie mlango, akifunguliwa mlango kutakuwa na shida. Anajaribu kuhadaa Wakenya kusema ati mimi ni mkristo. Kila Jumamosi au Jumapili anaingia kwa kanisa. Ati huo ni Ukristo? Huo ni ufisi!” Odinga added.

The former prime minister who was accompanied by Homabay Woman Rep Gladys Wanga also took the opportunity to drum up support for his Azimio la Umoja Movement, saying it is capturing the aspirations of millions of Kenyans from every part of the country.

Leave a Reply

Your email address will not be published.

Previous Story

Azimio Movement unstoppable, Odinga to opponents

Next Story

Gachagua: Kenyatta government won’t be neutral in the polls

Latest from Blog